Habari RFI-Ki

Habari RFI-Ki

RFI Kiswahili

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Categories: News & Politics

Listen to the last episode:

Mwishoni mwa juma Afrika Kusini ilitangaza kuondoa wanajeshi wake kutoka kwa tume ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini DRC (MONUSCO) baada ya kikosi hicho kuhudumu kwa miaka 27.Pretoria inasema hatua hiyo ni kutokana na mipango yake ya kurekebisha na kuimarisha raslimali ya jeshi lake.Tumemuuliza msikilizaji anazungumziaje hatua hii ya Afrika kusini,Hatua hii ni kumaanisha Monusco imepoteza nguvu DRC na Nini kifanyike kuleta usalama wa kudumu nchini DRC?

Previous episodes

  • 346 - Afrika Kusini yatangaza kuwaondoa wanajeshi wake kutoka kwa monusco nchini DRC 
    Mon, 09 Feb 2026
  • 345 - Maoni yako Ijumaa hii kwenya mada huru 
    Fri, 30 Jan 2026
  • 344 - Matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto chini ya miaka 15 
    Fri, 30 Jan 2026
  • 343 - Mwaka mmoja tangu mji mkubwa mashariki mwa DRC kuanguka mikononi mwa M23 
    Fri, 30 Jan 2026
  • 342 - Marekani kujiondoa rasmi kwenye WHO, hatua hatari kwa sekta ya afya dunaini 
    Tue, 27 Jan 2026
Show more episodes

More Kenya news & politics podcasts

More international news & politics podcasts

Choose podcast genre