Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Categories: News & Politics
Add to My List
Listen to the last episode:
Mwishoni mwa juma Afrika Kusini ilitangaza kuondoa wanajeshi wake kutoka kwa tume ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini DRC (MONUSCO) baada ya kikosi hicho kuhudumu kwa miaka 27.Pretoria inasema hatua hiyo ni kutokana na mipango yake ya kurekebisha na kuimarisha raslimali ya jeshi lake.Tumemuuliza msikilizaji anazungumziaje hatua hii ya Afrika kusini,Hatua hii ni kumaanisha Monusco imepoteza nguvu DRC na Nini kifanyike kuleta usalama wa kudumu nchini DRC?
Previous episodes
-
346 - Afrika Kusini yatangaza kuwaondoa wanajeshi wake kutoka kwa monusco nchini DRC Mon, 09 Feb 2026
-
345 - Maoni yako Ijumaa hii kwenya mada huru Fri, 30 Jan 2026
-
344 - Matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto chini ya miaka 15 Fri, 30 Jan 2026
-
343 - Mwaka mmoja tangu mji mkubwa mashariki mwa DRC kuanguka mikononi mwa M23 Fri, 30 Jan 2026
-
342 - Marekani kujiondoa rasmi kwenye WHO, hatua hatari kwa sekta ya afya dunaini Tue, 27 Jan 2026
-
341 - Siku ya kimataifa ya nishati safi: Wewe unatumia nishati gani? Tue, 27 Jan 2026
-
340 - Serikali ya Uganda yafunga mitandao kuelekea uchaguzi mkuu wa siku ya Alhamisi Thu, 15 Jan 2026
-
339 - Maoni: Hatua ya Marekani kutangaza kujiondoa katika mashirika 66 yakiwemo yale ya Umoja wa Mataifa Thu, 15 Jan 2026
-
338 - Wawakilishi wa Afrika mashariki wayaaga michuano ya AFCON 2025 Thu, 08 Jan 2026
-
337 - Matukio ya wanahabari kushambuliwa wakati wa kampeni za uchaguzi Wed, 07 Jan 2026
-
336 - Marekani kufanya oparesheni ya kijeshi na kumkamata rais Nicolas Maduro Tue, 06 Jan 2026
-
335 - Mada huru ya mwisho wa mwaka 2025 Fri, 26 Dec 2025
-
334 - Ulimwengu washerehekea sikukuu ya Krismasi Thu, 25 Dec 2025
-
333 - Maandalizi ya timu za mataifa ya Afrika mashariki na kati katika AFCON 2025 Tue, 23 Dec 2025
-
332 - Tume ya umoja wa mataifa nchini DRC, MONUSCO yaongezewa mwaka mmoja zaidi Mon, 22 Dec 2025
-
331 - Marekani yapiga marufuku kwa raia kutoka mataifa kadhaa kuingia ardhi yake Thu, 18 Dec 2025
-
330 - Waasi wa AFC/M23 watangaza kujiondoa katika mji wa Uvira DRC Wed, 17 Dec 2025
-
329 - Ukoloni mamboleo na maendeleo ya bara la Afrika Mon, 15 Dec 2025
-
328 - Maoni ya Wasikilizaji kuhusu habari zetu juma hili ikiwemo hali mashariki mwa DRC Fri, 12 Dec 2025
-
327 - Waasi wa AFC/M23 wanaosaidiwa na Rwanda waudhibiti mji wa Uvira nchini DRC Thu, 11 Dec 2025
-
326 - Leo ni siku ya kuadhimisha haki za binadamu duniani lakini ukiukaji waripotiwa Wed, 10 Dec 2025
-
325 - Upinzani barani Afrika waendelea kunyanyaswa na polisi wakati wa kampeni Tue, 09 Dec 2025
-
324 - Vita vyashuhudiwa DRC licha ya makubaliano ya kustisha vita kufanyika Mon, 08 Dec 2025
-
323 - Maoni ya waskilizaji kuhsu taarifa zetu juma hili. Fri, 05 Dec 2025
Show more episodes
5