Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania
Haraka sana ilienea kote Italia, tayari katika miaka ya 90, uzoefu huu wa kipekee wa redio uliamsha shauku katika sehemu zingine za ulimwengu. Baadaye, kila mara chini ya uelekezi na usaidizi wa Radio Maria Italia, Radio Maria nyingine iliibuka Amerika (kuanzia na Peru), Afrika (kwanza Burkina Faso), sehemu nyingine za Ulaya… na hivyo Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilizaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN, yenye makao makuu ya kisheria huko Roma. Madhumuni yake ni kuendeleza mradi wa kimisionari, kujibu maombi yanayotoka katika maeneo yote ya dunia, kuhakikisha uhalisi wa chapa, kutoa usaidizi wa kiufundi kwa RM zote, na kukuza mabadilishano na usaidizi kati ya kila redio. Familia ya Ulimwengu inadumisha mahusiano ya mara kwa mara ya taarifa na Baraza la Kipapa la Mawasiliano ya Kijamii la Kiti Kitakatifu
Categories: Religion & Spirituality
Listen to the last episode:
Previous episodes
-
530 - Fahamu hatua za kuzifikia Sakramenti ya Upadre na majukumu yao. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
529 - Fahamu namna ya Utume wa Walei Jimbo kuu la Dar es salaam Walivyo jipanga kuimalisha Imani kwa Waamini. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
528 - Fahamu namna ya watu walivyo shiriki kuinjilisha kwa haraka. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
527 - Fahamu upendo wa Yesu kwa Binadamu. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
526 - Fahamu msimamo wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuhusu ulinzi wa Watoto. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
525 - Ifahamu nafasi ya Bikira Maria katika mahitaji ya Binadamu. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
524 - Je, Wafahamu kwanini kulianzishwa na Madhehebu tofauti ya Kikristo katika Kanisa? Wed, 15 May 2024 - 0h
-
523 - Fahamu changamoto za kuheshimu utu na kutunza uhai. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
522 - Je, wafahamu kwanini Mapadre hawaoi? Wed, 15 May 2024 - 0h
-
521 - Ifahamu Sheria Na. 897-958 ya Ekaristi Takatifu? Wed, 15 May 2024 - 0h
-
520 - Je, Wafahamu namna ya kupata Wito? Fri, 10 May 2024 - 0h
-
519 - Roho Mtakatifu ni nani katika maisha yetu? Wed, 15 May 2024 - 0h
-
518 - Je, wafahamu Ubikira wa Milele wa Bikira Maria? Wed, 15 May 2024 - 0h
-
517 - Ni, tofauti ipi iliyopo kati ya dhambi ya Mauti na dhambi isiyo ya Mauti? Wed, 15 May 2024 - 0h
-
516 - Fahamu namna ya Utandawazi unavyo leta tija na faidi katika Jamii. Fri, 10 May 2024 - 0h
-
515 - Kwanini Kanisa Katoliki lilianzisha Jumuiya ndogondogo za Kikristo? Fri, 10 May 2024 - 0h
-
514 - Ni, kwa namna gani mwezi Mei ni Faraja ya Imani? Fri, 10 May 2024 - 0h
-
513 - Amka na Mama Pasaka [Sehemu ya Kumi na tatu] Fri, 10 May 2024 - 0h
-
512 - Ufahamu uhusiano kati ya Martin Luther na Kanisa la KKKT. Wed, 15 May 2024 - 0h
-
511 - Ni, kwanini Padre anavaa kanzu Jeusi ? Wed, 08 May 2024 - 0h
-
510 - Ni, kwa jinsi gani Bikira Maria ni Faraja ya Imani? Wed, 08 May 2024 - 0h
-
509 - Zifahamu mbinu za matumizi Sahihi ya Watembea kwa Miguu wawepo Barabarani. Wed, 08 May 2024 - 0h
-
508 - Je, unafahamu umuhimu wa Kanisa kuweka Sikukuu ya Pentekoste? Wed, 08 May 2024 - 0h
-
507 - Je, wafahamu madhara ya vidhibiti mimba na maisha ya Vijana na Dunia ya leo. Wed, 08 May 2024 - 0h
-
506 - Je, wafahamu umuhimu wa kutunza uhai kwenye maisha ya Ndoa? Mon, 06 May 2024 - 0h
-
505 - Je, wafahamu msingi katika Ndoa? Mon, 06 May 2024 - 0h
-
504 - Nini, maana ya Faraja? Mon, 06 May 2024 - 0h
-
503 - Ni, Kwa namna gani Bikira Maria ni Mama mwenye Unyenyekevu? Mon, 06 May 2024 - 0h
-
502 - Tutafsiri vipi ndoto za Kikristo? Mon, 06 May 2024 - 0h
-
501 - Zifahamu Sheria za Ekaristi Takatifu. Sun, 05 May 2024 - 0h
-
500 - Ufahamu Uraibu wa tabia ya uongo. Sun, 05 May 2024 - 0h
-
499 - Fahamu uhusiano wa utandawazi na wito wako. Fri, 03 May 2024 - 0h
-
498 - Amka na Mama Pasaka [Sehemu ya kumi na mbili] Fri, 03 May 2024 - 0h
-
497 - Je, Mei mosi ni sikukuu ya Kikanisa au ya Kiserikali? Fri, 03 May 2024 - 0h
-
496 - Fahamu Historia ya Rozari Takatifu. Fri, 03 May 2024 - 0h
-
495 - Fahamu maana ya Mirathi na faida zake. Fri, 03 May 2024 - 0h
-
494 - Ni, kwa namna gani Maandiko Matakatifu yanatualika kuinjilisha kwa haraka? Fri, 03 May 2024 - 0h
-
493 - Fahamu juu ya muendelezo wa Uzao wa Adam na Hawa. Fri, 03 May 2024 - 0h
-
492 - Ni, Kwanini Wakatoliki tunapokea Mwili wa Kristo katika Umbo la Mkate tuu? Mon, 29 Apr 2024 - 0h
-
491 - Fahamu mambo unayotakiwa kufanya unapoingia Kanisani hadi inapoisha Misa Takatifu. Fri, 03 May 2024 - 0h
-
490 - Je, Wafahamu Mashirika yanayotumia neno Bruda? Mon, 29 Apr 2024 - 0h
-
489 - Je, Wafahamu vipindi vya Liturujia katika Kanisa Katoliki? Mon, 29 Apr 2024 - 0h
-
488 - Je, Wafahamu Siri ya Miaka 28 ya Radio Maria Tanzania kwa Wanautume wake? Fri, 26 Apr 2024 - 0h
-
487 - Miaka 28 ya Utume wa Radio Maria nchini Tanzania Fri, 26 Apr 2024 - 0h
-
486 - Fahamu dalili za wito wa maisha ya wakfu. Fri, 26 Apr 2024 - 0h
-
485 - Fahamu dalili au cheche za wito. Fri, 26 Apr 2024 - 0h
-
484 - Je, ni kweli Makadinari wa Afrika hawachaguliwi kuwa Mapapa? Wed, 24 Apr 2024 - 0h
-
483 - Je, Wafahamu kwanini Wakristo husherekea Sikukuu ya Pasaka? Wed, 24 Apr 2024 - 0h
-
482 - Fahamu barua za kitume za Baba Mtakatifu Yohane Paulo II. Wed, 24 Apr 2024 - 0h
-
481 - Je, Wafahamu Utaratibu Wakusoma Masomo Kanisani? Wed, 24 Apr 2024 - 0h